×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tapeli apewa kichapo cha umbwa na wananchi Narok

2nd May, 2016

Matapeli wawili walinusurika kifo baada ya kushambuliwa na umma huko Narok. Mmoja wa matapeli hao alinyeshewa mvua ya ngumi na mateke lakini akaokolewa baadaye. Inadaiwa kuwa wamekuwa wakiwalaghai watu na kuwaibia, mtu mmoja akidai walimlangua shilingi elfu 25.
.
RELATED VIDEOS