Rais Kenyatta akosa kuhudhuria sherehe za sikukuu za wafanyakazi bustani wa Uhuru
1st May, 2016
Sikukuu ya wafanyakazi kote nchini ilifanyika mapema hii leo , huku wanasiasa wakionekana kuchukua fursa hiyo kuwarai wafanyakazi waliofika katika bustani ya Uhuru. Jukwaa lilibadilika na kuwa la kisiasa huku swala la IEBC likionekana kuwa mada kuu katika siku ya leo.na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Hussein Mohammed wafanyakazi hao waliondoka wakilalama kwa kukosa kupata nyongeza ya marupurupu huku viongozi wa upinzani wakikosa kufika.