×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Kidero afika katika eneo ya mafuriko eneo wa Huruma

1st May, 2016

Gavana wa Nairobi Evans Kidero hatimaye amezuru eneo la mkasa wa kuporomoka kwa jengo la makazi huko Huruma, jijini Nairobi. Kidero amesema Kaunti ya Nairobi imetenga fedha za kuwasaidia waathiriwa. Aidha Gavana Kidero amelaumu mwingilio wa kisiasa katika maafa ya majumba kuporomoka akiahidi kwamba kufikia jumatano ijayo, hatua zitachukuliwa dhidi ya walioidhinisha jumba hilo lisalie wima licha ya kutofaa kwa makazi. Mvua inaendelea kunyesha, huku shughuli zauokoaji zikiendelea nayo idadi ya waliofariki ikizidi kupanda kutoka kumi hapo jana hadi kumi na sita asubuhi ya leo. Wasiojulikana waliko nao ni 69 kufikia sasa huku manusura wakiwa 134.
.
RELATED VIDEOS