Watu kumi na nane walazwa hospitalini baada ya kula nyama iliyokuwa na sumu
30th April, 2016
Watu kumi na wanane wakiwemo watoto kumi wanapokea matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Samburu baada ya kula nyama iliyokuwa na sumu katika kijiji cha Sagumai katika kaunti hiyo ya Samburu . Agnes Penda anaarifu