Watu 4 wafariki baada ya ukuta kuporomoka katika eneo ya Kilimani
30th April, 2016
Tukiondoka Huruma hapo jana watu wanne walioripotiwa kufariki jioni ya jana baada ya mvua kubwa kunyesha jijini Nairobi baada ya ukuta wa nyumba ya kibinafsi kuporomoka mtaani Kilimani. Waathiriwa walikuwa wakijikinga na mvua hiyo na kwa bahati mbaya kufariki. Na kama anavyoripoti mwanahabari Saida Swaleh ni mvua iliyoleta uharibifu mkubwa.