Mwanamke Ngangari: Elizabeth Esther ambaye amechukua jukumu la kuwashauri Wanawake waliobakwa
24th April, 2016
Katika makala ya Mwanamke Ngangari leo tunamuangazia Mwanamke Elizabeth Esther ambaye amechukua jukumu la kuwashauri Wanawake waliobakwa wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka wa 2007 . Elizabeth pia alibakwa wakati huo na amekuwa akiwashauri akina mama wenzake kama njia ya kumponya.