×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

CORD yakashifu Serikali ya Jubilee huko kiwanja ya Kamukunji

23rd April, 2016

Muungano wa upinzani nchini CORD, ulifanya mkutano wake hii leo katika uwanja wa Kamkunji na kukashifu serikali ya Jubilee kuhusu ufisadi uliokithiri nchini. Wakuu wa CORD wakiongozwa na Raila Odinga, Moses Wetangula na Kalonzo Musyoka wamezungumzia masuala ya Eurobond na vilevile kutaka serikali ihakikishe kuwa kuna utangamano miongoni mwa wananchi kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
.
RELATED VIDEOS