Jeneza la mtoto lapatikana kwenye shamba katika eneo la Uasin Gishu
21st April, 2016
Wakazi wa kijiji cha Chemalal kaunti ya Uasin Gishu waliamkia kisa cha kushangaza baada jeneza la mtoto kupatikana kwenye shamba la bwana mmoja likiwa na damu. Vilevile katika eneo jirani la Kipakaren mabaki ya mwili ya binadamu yalifukuliwa katika shamba la mwanamke mmoja. Elvis kosgei na kizaazaa hicho