×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkurugenzi wa jiji la Kisumu Doris Ombara afungiwa nje ya afisi licha ya ilani ya mahakama

19th April, 2016

Mzozo baina ya mkurugenzi wa jiji la Kisumu Doris Ombara na gavana wa kaunti hiyo Jack Ranguma umechukua mwelekeo tofauti. Hii ni baada ya mkurugenzi huyo kufungiwa nje ya afisi yake licha ya ilani ya mahakama kumtaka aendelee kufanya kazi kama mkurugenzi. Mzozo huo umejiri kwa muda baada ya doris ukataa kuondolewa kutoka kwenye cheo hicho.
.
RELATED VIDEOS