Hali duni ya huduma katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Kakamega
19th April, 2016
Hali duni ya huduma katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Kakamega, imeonekana wazi hii leo baada ya ktn kugundua baadhi ya wagonjwa wakiwa wamekosa mahali pa kulazwa, na kulazimika kulala kwenye makaratasi ya kupakia bidhaa. Baadhi ya vifaa pia viko katika hali duni ya matumizi,licha ya taifa kuadhimisha miaka 3 ya matumizi ya sera za ugatuzi.