Serikali ya Jubilee imewasuta viongozi wa CORD walioandaa mkutano Kibra
17th April, 2016
Serikali ya Jubilee imewasuta viongozi wa CORD walioandaa mkutano Kibra hapo jana na kusema kuwa wanalenga kuwagawanya wakenya. Naibu rais william ruto amesema kuwa hatua ya CORD kuwahusisha waathiriwa katika ghasia hizo ni mbinu ya kuwakosanisha wakenya.