Afya Yako: Maradhi ya utando wa jicho
14th April, 2016
Maradhi ya utando wa jicho au eye cataracts huwasumbua watu kote duniani. Nchini Kenya, watu zaidi ya laki tatu wanakumbwa na upofu. Wanaolemewa sana ni watu waliobugia chumvi kiasi wengi wakipofuka kabisa kutokana na maradhi haya. Kaunti ya nakuru ni mojawapo ya zile zilizoathirika pakubwa. Mark Namaswa anaarifu kwenye makala maalum afya yako