Mwanafunzi asiyeona aorodheshwa kati ya wanafunzi waliozua vurugu katika chuo kikuu cha Nairobi
14th April, 2016
Tunaanza habari zetu kwa kisa cha mwanafunzi asiye na uwezo wa kuona kujipata kwenye orodha ya wale walioorodheshwa kutimuliwa kwa muda katika chuo kikuu cha Nairobi… kupatikana jina la mwanafunzi huyo kwenye orodha hiyo kunaibua maswali kuhusu jinsi alivyohusika kwenye vurugu hizo na vilevile vigezo vilivyotumiwa kuwatimua kwa muda wanafunzi 227. Geof Kirui anaarifu