Serikali yathibitisha mlipuko wa Homa ya Mafua (Influenza) kaunti ya Nakuru
12th April, 2016
Serikali imethibitisha mlipuko wa homa ya mafua (influenza)katika kaunti ya Nakuru ambao umesababisha vifo vya watoto 35 na kuwaacha wengine 34 wakipokea matibabu kwa muda wa wiki tatu