Jamaa anayemtuhumu jaji Tunoi kwa kupokea hongo afika mbele ya jopo linalochunguza madai hayo
12th April, 2016
Geoffrey Kiplagat jamaa anayemtuhumu jaji wa mahakama ya juu Philip Tunoi kwa kupokea hongo amefika mbele ya jopo linalochunguza madai hayo na kupigwa msasa na mawakili wa jaji…. Wakili wa tunoi Fred Ngatia alitilia shaka nafasi yake kiplagat hasa baada ya kuibuka kwamba kulikuwa na jamaa mwengine kwa jina Kiprop ambaye hakutajwa kwenye hati ya kiapo ya Kiplagat