×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Elimu na Taaluma: Wanafunzi walemavu waitaka serikali kuwazia vyuo vikuu spesheli

11th April, 2016

Baadhi ya wanafunzi walemavu waliopokea matokeo yao ya KCSE mwaka huu wametoa wito kwa serikali kuwazia vyuo vikuu spesheli vitakavyowapa nafasi sawa na wanafunzi wengine kujiendeleza. Mashirima Kapombe alizungumza na wawili ambao wana ndoto tofauti kitaaluma lakini changamoto yao kuu ni kutimiza ndoto hizo na sasa anaarifu kwenye makala ya elimu na taaluma.
.
RELATED VIDEOS