Elimu na Taaluma: Wanafunzi walemavu waitaka serikali kuwazia vyuo vikuu spesheli
11th April, 2016
Baadhi ya wanafunzi walemavu waliopokea matokeo yao ya KCSE mwaka huu wametoa wito kwa serikali kuwazia vyuo vikuu spesheli vitakavyowapa nafasi sawa na wanafunzi wengine kujiendeleza. Mashirima Kapombe alizungumza na wawili ambao wana ndoto tofauti kitaaluma lakini changamoto yao kuu ni kutimiza ndoto hizo na sasa anaarifu kwenye makala ya elimu na taaluma.