KTN Leo Wikendi Kamilifu April 9 2016 - Githu Muigai aikosoa Mahakama ya ICC
9th April, 2016
Mkuu wa sheria wa kenya Professor Githu Muigai amepinga usemi wa kiongozi wa mashtaka ya jinai ya kimataifa ICC Fatou Bensouda kwamba kusambaratika kwa kesi dhidi ya naibu rais William Ruto na Joshua Sang kulitokana na kenya kukosa kushirikiana na mahakama hiyo. Muigai amesema hamna taifa lolote barani afrika ambalo limeisaidia mahakama hiyo kushinda kenya ikiwemok kutumika kwa uwanja wa jomo kenyatta kuwasafirisha washukiwa wengine kutoka mataifa jirani hadi the hague.