Kisima cha hangaiko na Robert Wanyonyi
8th April, 2016
Wakati alipotoka nyumbani kwake mjini mumias tarehe saba februari mwaka huu, familia yake Abubakar Mohammed ilifahamu kuwa alikuwa akienda mjini Malaba mpakani mwa kenya na uganda, kununua gari. lakini walishangazwa saa kumi na mbili baadaye, kupata ripoti kuwa Abubakar alikamatwa na maafisa wa polisi, kabla ya kupokea habari zaidi kuwa alikuwa ameuawa na mwili wake kupatikana katika hifadhi ya maiti ya Kisumu. je?....ni nini kilichojiri?