Mwanamke adai kujifungua na kuua mtoto
8th April, 2016
Mwanamke mmoja kutoka mtaa wa makongeni hapa Nairobi amezua sarakasi katika hospitali ya pumwani mapema leo pale alipotoa madai kuwa alikuwa amejifungua mtoto na kumuua. Inaarifiwa mumewe alifika kwa haraka, na kwa uchungu akawahoji wauguzi, lakini ilibainika kuwa mkewe alikuwa anamhadaa kuhusu uja uzito aliokuwa nao ili waachane kwa madai kuwa mume huyo ana mpenzi wa kando