×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanamke adai kujifungua na kuua mtoto

8th April, 2016

Mwanamke mmoja kutoka mtaa wa makongeni hapa Nairobi amezua sarakasi katika hospitali ya pumwani mapema leo pale alipotoa madai kuwa alikuwa amejifungua mtoto na kumuua. Inaarifiwa mumewe alifika kwa haraka, na kwa uchungu akawahoji wauguzi, lakini ilibainika kuwa mkewe alikuwa anamhadaa kuhusu uja uzito aliokuwa nao ili waachane kwa madai kuwa mume huyo ana mpenzi wa kando
.
RELATED VIDEOS