×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Walter Barasa adai ICC inapanga kuwadhulumu wadogo

7th April, 2016

Walter Barasa mmoja wa watu wanaotafutwa na mahakama ya ICC kwa madai ya kuvuruga ushahidi dhidi ya waliokuwa washukiwa wakuu wa ghasia za baada ya uchaguzi, amejitokeza mapema leo na kudai kwamba haogopi kukamatwa na maafisa wa icc. Vile vile Barasa amemshtumu mwendeshaji mashataka Fatou Bensouda kwamba alishindwa kupata ushahidi dhidi ya naibu wa rais William Ruto na mwanahabari Joshua Sang na badala yake ameelekeza hasira yake kwa samaki wadogo wasiokuwa na hatia.
.
RELATED VIDEOS