×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Madai ya polisi kuwapija mijeledi wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi yaibua hisia kali

5th April, 2016

Madai ya polisi kuwapija mijeledi wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wakati wa ghasia za chuoni humo yanazidi kuibua hisia mbalimbali huku tume ya kutetea haki za binadamu ikitoa msimamo wake kuhusu suala hilo. Mapema hivi leo, msemaji wa polisi alipuuza video iliyoashiria polisi wakiwapa wanafunzi funzo la viboko barabarani lakini baadaye, tume ya haki za binadamu ikasema imearifiwa kuhusu sio viboko tu mbali pia tuhuma za ubakaji na ipo kwenye uchunguzi wa madai hayo. Chuo kikuu cha nairobi nacho kimefungwa kwa muda usiojulikana kufuatia ghasia hizo.
.
RELATED VIDEOS