×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirikia la al Muslimah laandaa hafla ya maonyesho ya nguo za kina mama wa Kiislamu

4th April, 2016

Shirikia la al Muslimah liliandaa hafla yake ya nne ya maonyesho ya nguo za kina mama wa Kiislamu katika ukumbi wa Sarit Center hapa jijini Nairobi. Hafla hiyo iliwavutia wanawake wengi na hata wafanyibishara hususan wa kiislamu wanaovutiwa na mavazi maalum. Hata hivyo wengi walijitokeza kununua na hata kujifunza mengi kuhusu nguo za aina hiyo.
.
RELATED VIDEOS