Shirikia la al Muslimah laandaa hafla ya maonyesho ya nguo za kina mama wa Kiislamu
4th April, 2016
Shirikia la al Muslimah liliandaa hafla yake ya nne ya maonyesho ya nguo za kina mama wa Kiislamu katika ukumbi wa Sarit Center hapa jijini Nairobi. Hafla hiyo iliwavutia wanawake wengi na hata wafanyibishara hususan wa kiislamu wanaovutiwa na mavazi maalum. Hata hivyo wengi walijitokeza kununua na hata kujifunza mengi kuhusu nguo za aina hiyo.