Watu wawili waponea chupuchupu wakijaribu kurekebisha mitambo ya umeme Nakuru
4th April, 2016
Watu wawili walioponea chupuchupu walipokuwa wakijaribu kurekebisha mitambo ya umeme huko Nakuru wanaendelea kupokea matibabu katika hopitali moja huko Nakuru.