×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waumini wa Kiislamu na Wakristo wakusanyika Garissa kwa maombi maalum

3rd April, 2016

Waumini wa dini ya Kiislamu na wale wa wa Kikristo katika eneo la Garissa wameamua kushirikiana kwa namna mbali mbali ili kuwakabili magaidi. Viongozi wa dini hizo mbili walitoa wito kwamba ushirikiano huo ndio njia mwafaka ya kusambaratisha shughuli ya wahalifu katika eneo. Hamza Yussuf amehudhuria hafla ya kukumbuka shambulizi la Garissa na sasa anaarifu
.
RELATED VIDEOS