Waumini wa Kiislamu na Wakristo wakusanyika Garissa kwa maombi maalum
3rd April, 2016
Waumini wa dini ya Kiislamu na wale wa wa Kikristo katika eneo la Garissa wameamua kushirikiana kwa namna mbali mbali ili kuwakabili magaidi. Viongozi wa dini hizo mbili walitoa wito kwamba ushirikiano huo ndio njia mwafaka ya kusambaratisha shughuli ya wahalifu katika eneo. Hamza Yussuf amehudhuria hafla ya kukumbuka shambulizi la Garissa na sasa anaarifu