Masimulizi ya shambulizi la kigaidi la Garissa
2nd April, 2016
Mwaka mmoja baada ya kifo chake katika shambulizi la kigaidi katika Chuo Kikuu Cha Garissa, familia ya Mildred Yondo Nyako, bado ina kumbukumbu za mtoto wao. Hata hivyo familia hiyo inahisi kuwa haijapata msaada wa kufaa kutoka kwa serikali.