Mwanamke mmoja akiri kutupa kinyesi chake kwenye kisima kinachotumiwa na kijiji nzima
1st April, 2016
Wakazi wa kijiji cha kapkoi kaunti ya Trans-Nzoia wameamkia kisa cha kushangaza baada ya mwanamke mmoja kutoka kijiji hicho kukiri kwamba amekuwa akitupa kinyesi kwenye kisima ambamo wakazi hao wamekuwa wakikitegemea kwa maji yake. Mwanamke huyo sasa amedai amekuwa akifanya hivyo ili kuwaadhibu majirani.