Maafisa wa KWS wamua Simba ambaye alitoroka mbuga ya kitaifa ya Nairobi
30th March, 2016
Maafisa wa huduma kwa wanyama pori KWS wamemuu Simba sehemu ya Isinya baada ya kutoroka mbuga ya kitaifa ya Nairobi na na kuanza kusumbua wenyeji. Kwamujibu wa naibu kurugenzi wa KWS, Julius Cheptei, maafisa wake walimwua simba huyo kwa bahati mbaya baada ya kumvamia mwendesha pikipiki,jambo ambalo haliendi sambamba na picha tulozipata.