Gavana wa Bomet Isaac Ruto adai kuna njama ya kumzima kisiasa
29th March, 2016
Joto la kisiasa limeendelea kupanda katika kaunti ya Bomet baada ya baadhi ya wawakilishi wa wadi wa kaunti hiyo kuendelea kushinikiza madai ya ubadhirifu wa fedha dhidi ya gavana wa kaunti hiyo Isaac Ruto….hata hivyo gavana Ruto amejitenga na madai hayo na kudai kuwa kuna watu wenye njama ya kumzima kisiasa.