×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana wa Bomet Isaac Ruto adai kuna njama ya kumzima kisiasa

29th March, 2016

Joto la kisiasa limeendelea kupanda katika kaunti ya Bomet baada ya baadhi ya wawakilishi wa wadi wa kaunti hiyo kuendelea kushinikiza madai ya ubadhirifu wa fedha dhidi ya gavana wa kaunti hiyo Isaac Ruto….hata hivyo gavana Ruto amejitenga na madai hayo na kudai kuwa kuna watu wenye njama ya kumzima kisiasa.
.
RELATED VIDEOS