×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wabunge wataka wanafunzi 5,101 waliokosa matokeo yao ya mtihani kupewa matokeo yao

29th March, 2016

Siku moja kabla kuanza kongamano la kujadilia mfumo wa elimu nchini, kukiwemo mapendekezo ya kuubadilisha, kamati ya bunge kuhusu elimu imekutana na waziri wa elimu Dkt. Fred Matiangi kupokea ripoti maalum kuhusu uozo katika baraza la taifa la mitihani. Aidha wabunge wametaka wanafunzi 5,101 waliokosa matokeo yao katika mtihani wa mwaka jana kupata matokeo hayo wakisema makosa yalitokana na utepetevu wa baraza la knec wala si wao.
.
RELATED VIDEOS