Wakenya wakijotokeza kuilaki timu iliyoshiriki mashindano ya mbio za kilomita 21 mjini Cardif
28th March, 2016
Timu ya Kenya ambayo ilishiriki mashindano ya mbio za kilomita 21 mjini Cardif ilirejea nchini huku Wakenya wakijotokeza kuilaki timu hiyo katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta. Washindi hao walidokeza kuridhika na matokeo yao kwenye mashindano hayo na kwa sasa wanalenga kushirki mashindano ya Olimpiki