Mjadala kuhusu kubanduliwa kwa tume huru ya uchaguzi na mipaka yazidi kupamba moto
28th March, 2016
Mjadala kuhusu kubanduliwa kwa tume huru ya uchaguzi na mipaka unazidi kupamba moto huku wanasiasa kutoka pande tofauti wakiunga ama kupinga hoja hiyo. Waziri wa ugatuzi Mwangi Kiunjuri amewataka wale wanaoshinikiza IEBC kubanduliwa kuzingatia katiba huku wanasiasa wengine wakisema kuwa IEBC imeshindwa kazi.