Madai ya ardhi kunyakuliwa yaibua zogo kaunti ya Kajiado
25th March, 2016
Wiki moja baada ya ghasia zilizoshuhudiwa sehemu ya Imbirikani Kaunti Ya Kajiado na kupelekea vifo vya watu 2 kutokana na mzozo wa ardhi ya jamii ya wamaasai, kampuni ya kutengeza saruji ya bamburi imejitokeza na kukanusha madai ya kukodisha ardhi ya jamii ya imbirikani kwa shughuli zao. Wakati huohuo,mwenyejiti wa ardhi ya jamii hio amewapa changamoto wenyeji kutoa idhibati kwamba ardhi hio iliuzwa.