×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Madai ya ardhi kunyakuliwa yaibua zogo kaunti ya Kajiado

25th March, 2016

Wiki moja baada ya ghasia zilizoshuhudiwa sehemu ya Imbirikani Kaunti Ya Kajiado na kupelekea vifo vya watu 2 kutokana na mzozo wa ardhi ya jamii ya wamaasai, kampuni ya kutengeza saruji ya bamburi imejitokeza na kukanusha madai ya kukodisha ardhi ya jamii ya imbirikani kwa shughuli zao. Wakati huohuo,mwenyejiti wa ardhi ya jamii hio amewapa changamoto wenyeji kutoa idhibati kwamba ardhi hio iliuzwa.
.
RELATED VIDEOS