Wakristo kote nchini wajumuika kusherehekea ijuma njema
25th March, 2016
Wakristo leo walimiminika makanisani kwenye ibada za kusherehekea ijumaa njema na mwanzo wa sherehe za pasaka. Jamii ya wakristo kote ulimwenguni kote husherehekea siku kuu ya pasaka, ukumbusho wa kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo. Baadhi ya wakenya hawakupata kusherehekea wakati huo kutokana na kupandishwa kwa nauli na hivyo kukatiza usafiri.