Mwanafunzi achapwa kwa waya wa chuma na mwalimu wake kwa sababu ya barua ya mapenzi
22nd March, 2016
Barua ya mapenzi imekuwa sababu ya mwanfunzi mmoja kutoka shule ya Joymax kaunti ya Uasin Gishu kuchapwa kwa waya wa chuma na mwalimu wake. Jambo ambalo walimu wa shule wameoneka kujitenga na madai hayo huku wakidai mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 alijijeruhi mwenyewe