Elimu na Taaluma: Je, walimu wapaswa kuhudumu katika mazingira wanayopenda wenyewe?
21st March, 2016
Hii leo kwenye makala maalum ya elimu na taaluma tunaangazia endapo kauli za waziri wa elmu Dkt Fred Matiangi zina mashiko kwamba walimu hawapaswi kuhudumu katika mazingira wanayoyapendelea wenyewe. Hata hivyo ajira ya kimaeneo na jieographia vimeonekana kuzua mjadala mkubwa miongoni mwa wakenya.