×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkuu wa upelelezi Ndegwa Muhoro akosoana na wakili Ahmednassir Abdullahi kuhusu madai ya ufisadi

21st March, 2016

Mkuu wa idara ya upelelezi nchini Ndegwa Muhoro amekashifu vikali madai yaliomhusisha kupokea hongo pamoja na yale madai yaliyotolewa katika barua ya wakili Ahmednassir Abdullahi kuhusu mradi wa tatu city ambao kwa sasa unaonekana kuibua hisia mseto licha ya kesi hiyo kuwa mahakamani. Akizungumza na wanahabari,muhoro amewashauri mawakili wake kuanzisha kesi iwapo hatopata kusikia kutoka kwa wakili abdullahi.
.
RELATED VIDEOS