Mazungumzo baina ya rais Uhuru Kenyatta na Yoweri Kaguta Museveni yagonga mwamba
21st March, 2016
Mazungumzo baina ya rais Uhuru Kenyatta na rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni kuhusu mradi wa kuezeka mabomba ya mafuta kutoka Uganda kupitia Kenya yalikosa kuzaa matunda baina ya mataifa ya Kenya na Uganda,huku viongozi wa mataifa hayo wakieka miadi ya kukutana tena baada ya wiki mbili jijini kampala nchini uganda.