Vijana wafunga barabara katika mitaa za Donholm na Umoja na kutatiza usafiri
21st March, 2016
Wakaazi wa mtaa wa Donholm na wale wa mtaa wa Umoja walilazimika kutumia mbinu nyingine za usafiri baada ya vijana kadhaa kuzifunga barabara mitaani humo. Kulingana na vijana hao walioungana na madereva wa matatu za barabara za mitaa hiyo,walidai zimewachosha huku zikitajwa kusabaisha misongamano mirefu pamoja na ajali.