Hofu yawakumba wakaazi wa Ikolomani, Kakamega baada ya mauaji ya kutatanisha
20th March, 2016
Hofu imewakumba wakaazi wa Khwisero katika kaunti ya Kakamega, baada ya genge lisilojulikana kuwasumbua wenyeji sehemu hio na uhalifu,hali iliopelekea watu wanane kuuawa katika muda wa wiki moja pekee. Robert Wanyonyi alifika katika eneo hilo na kufanya upekuzi juu ya mauaji hayo…..