Watu wawili wauawa katika ghasia baina ya polisi na wenyenji Kajiado
20th March, 2016
Watu 2 wameuawa kwenye ghasia zilizozuka sehemu ya imbirikani kusini mwa kaunti ya Kajiado, baina ya polisi na jamii ya wamaasai katika sehemu hiyo. Ghasia hizo zilizuka wakati vijana na kina mama walipokusanyika kwenye mkutano uliojadili tuhuma za kampuni moja ya saruji kupewa kandarasi ya ujenzi wa kiwanda katika ardhi ya jamii, jambo ambalo lilipuuziliwa mbali na mwenyekiti wa ardhi ya jamii ya eneo la imbirikani. Ali Manzu anaarifu zaidi.