×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Joho: Nyumba za kisasa zitawanufaisha wengi Mombasa

19th March, 2016

Gavana Wa Mombasa Ali Hassan Joho amesisitiza kuwa wakaazi wanaoishi katika nyumba zinazomilikiwa na manispaa ya Kaunti Ya Mombasa ni lazima waondoke ili nyumba hizo zibomolewe na kisha majumba ya kisasa kujengwa . Joho alisema madhumuni ya mpango huo ni kuwafaa wafanyikazi wa manispaa ya Mombasa.Joho alisema kuwa kwa sasa ni wa chache ambao wananufaika na nyumba hizo akisema kuwa mpango wa sasa ni kuongeza idadi ya nyumba zinazoambatana na matakwa ya wafanyikazi.
.
RELATED VIDEOS