Ruto ahudhuruia hafla ya shukrani Kaunti ya Kericho
19th March, 2016
Naibu wa rais William Ruto amerejea leo katika Jimbo La Kericho kwa kikao cha kushereheka ushindi wa seneta Aaron Cheruyot ambaye nusura apokonywe fursa hiyo na chama cha kanu.akiwahutubia wafuasi wa muungano wa jubilee, ruto aliwashukuru kwa kupigia kura Cheruyot huku akiahidi kutekeleza ahadi zake kama serikali kwa wenyeji hao, saa chahche baadaya ya kuzindua ujenzi wa bara bara ya taplotin-kabianga-hadi eneo la premium.kwa upande wao, wabunge Aden Duale,Kipchumba Murkomen, na Stephen Sang,wamekahsifu katibu mkuu wa chama cha kanu Nick Salat wanayesema alitoa taarifa za kupotosha kuhusiana na matokeo ya uchaguzi.mkutano huo uliofanyika katika taasisi ya mafunzi ya waalimu mjini kericho umekamilika dakika chache zilizopita