Kinara wa cord apinga Jinsi serikali inavyotekeleza uteuzi wa maafisa
18th March, 2016
Kinara wa cord Raila Odinga amekashifu serikali kwa jinsi inavyowateua maafisa kwenye serikali.matamshi ya Odinga pamoja na viongozi wengine wa mrengo wa cord yanajiri saa chache baada ya Rais Uhuru Kenyatta kuwatea Francis Kimemia na aliyekuwa kamanda wa polisi Hussein Ali kwenye vyeo mbali mbali serikalini.raila alikuwa eneo la kisian kaunti ya kisumu kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha korando.