Shirikisho la riadha nchini, lamtaka mstaafu Noah Ngeny afafanue sababu zilizomfanya ajiuzulu
17th March, 2016
Mwenyekiti wa shirikisho la riadha nchini, Jackson Tuwei, amemtaka mwanariadha mstaafu Noah Ngeny afafanue zaidi sababu iliyomfanya ajiuzulu kutoka cheo cha mwakilishi wa wanariadha. Ngeny alijiuzulu kufuatia kile alichokitaja kama kutojituma kwa shirikisho la riadha nchini katika vita dhidi ya madawa yaliyopigwa marufuku