Kauli ya wakenya kuhusiana na utendakazi wa serikali ya jubilee
17th March, 2016
Kongamano la kutathmini utendakazi kwa serikali limeanza hii leo katika ukumbi wa KICC jijini Nairobi. Kongamano hilo la siku nne linawaleta pamoja mawaziri ambao watahitajika kufahamisha nchi maendeleo na hatua walizopiga katika wizara zao. Kadhalika wantakiwa kuelezea changamoto zinazowakabili kutekeleza sera za serikali.