Ngariba ya Waranda: Jinsi vijana wa kuranda randa mitaani wanavyohusika katika tohara- Sehemu ya 2
15th March, 2016
Kwa zaidi ya mwezi mmoja mwanahabi wetu Francis Mtalaki amekuwa akifuatilia jinsi vijana wa kuranda randa mitaani wanavyohusika katika tohara. Na hii leo kwenye KTN leo tutakujulisha masaibu wanayokumbana nayo.