Mtu mmoja achomwa kiasi cha kutotambulika na kufariki kwenye ajali Mai Mahiu
15th March, 2016
Mtu mmoja amechomwa kiasi cha kutotambuliwa na kufariki kwenye ajali iliohusisha magari manane katika barabara kuu ya Nairobi - Mai Mahiu. Magari hayo yaligongana na kusabbaisha moto mkubwa kutokea huku watu wengine 4 wakijeruhiwa.