×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Dkt Karanja Kibicho awaonya machifu wawili kuhusu pombe haramu

10th March, 2016

Baada ya kuwaachisha kazi machifu saba katika kaunti ya Meru hapo jana,katibu katika wizara ya masuala ya ndani mwa nchi leo amefika Nyeri na kuibua wasiwasi mwingi miongoni mwa machifu. Dkt Karanja Kibicho amewasili kuendeleza vita dhidi ya pombe haramu ambapo ameongoza oparesheni ya kumwaga pombe katika maeneo mbali mbali. Machifu wawili walipewa onyo kali mbele ya raia waliofika kuhudhuria mkutano wa hadhara katika eneo la witemere.
.
RELATED VIDEOS