×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Mastaafu Moi ahimiza serikali izingatie kuboresha elimu ya shule za msingi

6th March, 2016

Rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi ametoa wito kwa serikali kuhakikisha kuwa elimu katika kiwango cha shule za msingi imeboreshwa kwa kiasi kikubwa. Akizungumza kwenye hafla ya kuwatuza wanafunzi katika shule ya upili ya Moi Kabarak, Mzee Moi pia aliwataka wabunge kuzingatia elimu kupitia pesa za ustawi za maeneo bunge. Aliipongeza shule ya upili ya moi kwa kupata matokeo mazuri katika matokeo ya mtihani wa kitaifa wa KCSE 2015
.
RELATED VIDEOS