Seneta wa Meru Kiraitu Murungi atangaza kuwania ugavana wa Meru
6th March, 2016
Seneta wa kaunti ya Meru Kiraitu Murungi, ametangaza rasmi kuwa atawania kiti cha ugavana kaunti ya Meru. Seneta Kiraitu na kundi lake walikipigia debe chama cha jubilee wakati kauli yake ikionekana kuibua hisia tofauti huku pande tofauti zikijigawanya katika kinyanganyiro cha uhaguzi wa mwaka ujao. Hussein Mohammed anaarifu